Yes...
Hatutakuwa hewani kuanzia Juni 23 Mpaka Julai 23 2017.
Msighafirike.
Kama kuna mtu ambaye atakuwa na shida na mimi email yangu ni ile ile:
Nancymitikisiko@gmail.com.
Mwenye mapicha, mavideo ya kikwetu na mambo mengine (isipokuwa kutafutiwa wanawake) please wasiliana nami hapo. Na ukiniandikia kuniuliza eti mbona blog haipatikani wakati tangazo lipo hapa basi nitakutukana tu kwa sababu hakuna namna.